Wednesday, May 11, 2011

Siku ya mpambano wa Man U na Chelsea katika picha

Washabiki wakiingia eneo la tukio kushuhudia mpambano



 Tonny Samaka a.k.a Yayoo mdau wa Man U akiingia eneo la tukio


Wadau wakifuatilia, mpambano umeanza


Dalili ya daraja kuwa kwenye hali ngumu inaonekana, cha ajabu zaidi ni mashabiki wa timu nyingine walikuwa upande wa Chelsea

Brian Bennet, Sele Mitimingi na mdau wakifuatilia kwa makini mpambano.


Mara goli la kwanza limeingia

Urafiki wa mashaka, half time imefika

Cheers kwa washabiki wa Man U

Wadau wakifuatilia kwa makini mpambano

Presha inapanda presha inashuka

Dah....! atatoka mtu kweli....! mpaka kieleweke.

Ni bao la pili kwa Man U na jambo limeisha
 Mdau wa Chelsea hoi...! muite Teacher


Hatimae mpambano umeisha, Man U 2 Chelsea 1

No comments:

Post a Comment