Woooh......! Karibu Mpenzi
MP na sio MC akimwaga sera huku A na E wanamcheki.
A anammezea MP ila akizidisha fix atamchenjia, pembeni E akitabasamu
Kumbuka tulipoanza darasa la kwanza herufi ni a, e, i, o, u. Ila hapa ni A na E tu
A anatabasamu E katulia, soon A atalianzisha
Best na Man
Anatory Mtarajiwa a.k.a PAROKO wa GLP
Watu warefu bwana, cheki shida hizi
Mbu usilete umbea
Haya sasa wenyeweeee mmetaka kupiga picha, nani anang'oka?
Sele Sadiki a.k.a Miti 800
Kamba zinaendelea, ila warembo washamshtukia na mashairi yake ya kutungiwa
Wameuza hawajauza?
Eti hawa ndio wanafata, nani kasema...!?
Kumbe kuna watu wako Photogenic
Wake watarajiwa, Mrs. C & Mrs. M wa baadae sana
Mamaaa Hidaya na kat' ya......!
Glorie Alu Ngahyoma (Mtarajiwa wa badae sana)
No Comment
Nice one
Tonny Yayo a.k.a Mfano wa Mtu
Paling'aa
Ninyi lini...!?
Na Ninyi?
Mtarajiwa keshapongezwa kabla
Mnambana sana, mpeni nafasi amwage Kiduku chake
Manji na shemejiiii!
Ya ukweli kuliko
Nami nimo
Paparazi naomba uishie hapo
No comments:
Post a Comment